Kenya's Citizen Tv News Anchor Gets Cute Message From Husband

Lulu Hassan and Rashid Abdalla
KENYA: Citizen TV’s Lulu Hassan celebrated her birthday on Monday, April 25. Standing out in a myriad of happy wishes for her birthday was a message that was crafted by her husband, Rashid Abdalla.

In a Instagram post update, Rashid wrote;
Mungu ana sababu zake nyingi mimi kunikutanishe nawe. Yarabi alikua na nia njema ndoa kuitakabalia. Muliwa akashusha baraka zake watoto kutujalia. Na leo Maulana amefanikisha mwaka mwengine kipenzi kuukumbatia. Heri njema ya siku ya kuzaliwa rafiki uliye mke wangu. Umepitia mingi mitihani ya siri na dhahiri lakini imara umesimama. Wakati mwengine nawaza mbona sikukuona mapema lakini Mola unikumbusha kila jambo kwa wakati wake. Natoa shukrani kwa kutojutia kukupenda wewe. Nakupa asante kwa kuthamini mapungufu yangu na kuyafanyia kazi. Aliyekupa jina Lulu akukosea kwani thamani yake nimeishuhudia tangu niwe nawe. Happy Birthday @loulou_hassan. Birthday ya Mwaka ujao Inshallah tutasherehekea pamoja na 👭. Nakupenda sana mke wangu. Wewe ni kope mkonyeza nyusi zangu. Happy Birthday @loulou_hassan na ASANTE KWA KUNIWEKA MAHALI PEMA MOYONI!!

Abdalla does not shy from crafting messages for his wife on special occasions. He surprised his wife live on TV during a live broadcast in 2015, bringing the studio to a halt and a very teary Hassan as the cake was cut. He was in the company of Amos and Josh- singer who sang in the little surprise party at the studio.
Abadalla married Lulu in a ritzy wedding at the coast almost a decade  ago.  Unknown to many,  Hassan is of Kikuyu and Sychellois descent, her  mother had Kikuyu and Sychellois roots as did her father.
Her mother passed away in 2007. The same year that she met her husband.
Powered by Blogger.